![]() |
Mohamed Elneny (kulia) anatarajiwa
kusaini mkataba wa miaka minne na nusu Arsenal
|
Wednesday, December 30, 2015
Mohamed
Elneny anatarajiwa kufanya vipimo vya afya Jumanne hii huko England
kuelekea usajili wa kujiunga na Arsenal. Kiungo huyo wa Basle atatua Arsenal
kwa dili la pauni milioni 7.4 lakini atapaswa kwanza kusubiri kukamilika kwa
hati yake ya kufanya kazi Uingereza kabla usajili huo haujatangazwa rasmi.
Mohamed Elneny mwenye umri wa miaka 23 alirejea Switzerland siku ya mkesha wa
Christmas akitokea Misri kwenye mapumziko wakati klabu hizo mbili zikiwa kwenye
mazungumzo. Mchezaji wa kimataifa wa Misri aliyeichezea nchi yake mechi 36,
anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka minne na nusu Arsenal.
Kocha wa Arsenal
Arsene Wenger amedhamiria kufanya usajili katika dirisha dogo ili kuziba
mapengo ya kikosi chake kilichojaa majeruhi ili kuha.
Related Posts
Donny Roberty Mshindi Miss Mwanza 2016 Tazama Picha hapa chini.
Usiku wa jana Ijumaa Agost 19,2016 kuamkia leo Jumamosi Agost 20,20...
MAONESHO YA BIASHARA ROCK CITY MALL MWANZA.
Makamu Mwenyekiti wa Chemba ya Wafanyabiashara wenye Viwanda n...
TFF Yatoa Angalizo Kwenye Msimu Mpya Wa VPL 16-17.
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2016/17 inatarajiwa kuan...
Sumatra Imesema hakuna usafiri utakaositishwa.
MAMLAKA ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imewatoa hofu ...
Hesabu inaendelea Ibra aweka mbili Nyumbani (VIDEO).
Endeleeni kuhesabu, ndiyo lugha rahisi unayoweza kuitumia baada...
Mambo 8 Yatakayokusaidia Kufikia Malengo Yako.
Kila wakati wengi wetu katika maisha, ni watu wa kujiwekea malengo....
Mkurugenzi Atishia Kuitisha Daftari la Mahudhurio saa tisa Usiku sababu Je?
Normal 0 false false false EN-U...
Gwajima atiwa Nguvuni na Polisi Dar, Imekuaje?
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limemkamata ...
Baada ya Cameroon huyu ndio kuwa Waziri mkuu wa Uingereza.
Katika saa au siku kadhaa zijazo, Waziri wa maswala ya nda...
ULIPITWA; MATOKEO YA ENGLAND VS RUSSIA YAKO HAPA.
June 11 2016 michuano ya Euro 2016 inayofanyika Ufaransa imeen...
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment