728x90 AdSpace

  • Latest News

    Saturday, December 12, 2015

    YANGA KUANZA NA TIMU YA MAURITIUS KWENYE LIGI YA MABINGWA AFRIKA (CAF).

     

    Shirikisho la Soka Afrika (Caf) limeipanga Yanga kuanza na Cercle de Joachim ya Mauritius katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

    Yanga ndiyo mabingwa wa Tanzania na wawakilishi katika Ligi ya Mabingwa ambayo ni michuano mikubwa zaidi kwa ngazi ya Vilabu.


    Kwa mujibu wa ratiba ya Caf, iwapo Yanga itaishinda timu hiyo ya Mauritius, itakutana na mshindi kati ya Mbabane Swallows ya Swaziland na APR ya Rwanda.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: YANGA KUANZA NA TIMU YA MAURITIUS KWENYE LIGI YA MABINGWA AFRIKA (CAF). Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top