Friday, June 10, 2016
Bado michuano maalum ya Copa America 2016 ambayo inatumika kama kusherehekea miaka 100 ya mashindano hayo inaendelea, kama ulikuwa hujui alfajiri ya June 11 Argentina ilicheza dhidi ya Panama katika mchezo wake wa pili wa Kundi D.
Katika mchezo huo Argentina walifanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 5-0, ushindi ambao ulipatikana baada ya nahodha wao Lionel Messi kuingia katika mchezo huo dakika 29 za mwisho, kuingia kwa Messi kulikuwa kuna madhara makubwa kwa Panama, kwani ilionekana mabeki wao kushindwa kumdhibiti staa huyo.
Messi ndio mchezaji aliyesababisha kuidhoofisha zaidi Panama, kwani uwepo wake uwanjani ulifanya apachike magoli matatu yaani hat-trick dakika ya 68, 78 na 87, baada ya Nicolas Otamendi kupachika goli la kwanza dakika ya 7 na Sergio Aguero kuhitimisha furaha ya waargentina baada ya kupachika goli la mwisho dakika ya 90.
Hata hivyo Panama walilazimika kumalizia dakika 59 za mchezo kwa kucheza wakiwa na wachezaji 10 uwanjani, hiyo inatokana na mchezaji wao mmoja Anibal Godoy
kuoneshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 31 na kutolewa nje ya uwanja
kutokana na kucheza faulo akiwa tayari alionywa kwa kadi ya kwanza ya
njano.
Tazama video ya magoli yote Hapa chini.
Related Posts
ULIPITWA; MATOKEO YA ENGLAND VS RUSSIA YAKO HAPA.
June 11 2016 michuano ya Euro 2016 inayofanyika Ufaransa imeen...
UFARANSA WAMEANZA KWA USHINDI NYUMBANI DHIDI YA ROMANIA(VIDEO).
June 10 2016 Ufaransa ambao ndio wenyeji wa michuano ya Euro 201...
Kikosi Cha Waliofanya Vyema Msimu Wa 2015-16 Tanzania Bara
Normal 0 false false false EN-U...
Timu ya taifa ya Misri 'Mafarao' kuwasili leo TANZANIA.
Timu ya taifa ya Misri, Pharaos, inatarajiwa kuwasili nchini ...
ALIYEIFUNGIA BAO ATLETICO JANA ALITOKEA GENK YA MBWANA SAMATTA.
Yannick Ferreira Carrasco ni raia wa Ubelgiji, ana miaka 22 tu,...
KAULI YA RONALDO BAADA YA USHINDI WA JANA DHIDI YA ATLETICO (VIDEO)
Normal 0 false false false EN-U...
Waganda Kuchezesha Stars, Harambee, Azam Kurusha ‘Live’.
Waamuzi watatu wa soka kutoka Uganda, ndio wakaochezesha mch...
NGOMA KAWATAJA MABEKI WALIOMPA SHIDA MSIMU HUU.
Straika wa Yanga, Donald Ngoma, amesema mabeki Juuko Murshid wa S...
LEO NI BIRTHDAY YA KASEKE, KAMUSOKO KAMFIKISHIA MANENO HAYA.
Leo ni siku ya jumamosi ya Tarehe 28 mwezi may mwaka 2016 mche...
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment