Thursday, September 10, 2015
Wakazi wa Manipaa ya TABORA wametakiwa kuboresha usafi wa
mazingira ili kujikinga na ugonjwa hatari wa kipindupindu.
Katika mahojiano maalumu na CGFM, Afisa Afya wa Manispaa
ya TABORA,Bwana VEDASTUS CHEYO amesema baadhi ya njia za kujikinga na ugonjwa
wa kipindupindu ni kuhakikisha mazingira yanakuwa katika hali ya usafi,kujenga choo bora na kukitumia na kunawa
mikono kwa maji safi na salama kwa kutumia sabuni baada ya kutoka chooni.
Bwana CHEYO amewatahadharisha wakazi wa manispaa ya
TABORA kuwa makini na ugonjwa hatari wa kipindupindu
kwa sababu unasababisha kifo kutokana na ukosefu wa maji na madini mwilini
baada ya kuharisha na kutapika.
Ameongeza kuwa ugonjwa wa
kipindupindu pia husababisha kushuka kwa uchumi katika familia kutokana na
shughuli za uzalishaji mali kusimama ili kumhudumia mgonjwa na kushiriki katika
misiba.
Ugonjwa huo tayari umesababisha vifo kwa watu kadha
mkoani DAR ES SALAAM na sasa umeenea
hadi mikoa ya MOROGORO na PWANI.
Related Posts
Donny Roberty Mshindi Miss Mwanza 2016 Tazama Picha hapa chini.
Usiku wa jana Ijumaa Agost 19,2016 kuamkia leo Jumamosi Agost 20,20...
MAONESHO YA BIASHARA ROCK CITY MALL MWANZA.
Makamu Mwenyekiti wa Chemba ya Wafanyabiashara wenye Viwanda n...
TFF Yatoa Angalizo Kwenye Msimu Mpya Wa VPL 16-17.
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2016/17 inatarajiwa kuan...
Sumatra Imesema hakuna usafiri utakaositishwa.
MAMLAKA ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imewatoa hofu ...
Hesabu inaendelea Ibra aweka mbili Nyumbani (VIDEO).
Endeleeni kuhesabu, ndiyo lugha rahisi unayoweza kuitumia baada...
Mambo 8 Yatakayokusaidia Kufikia Malengo Yako.
Kila wakati wengi wetu katika maisha, ni watu wa kujiwekea malengo....
Mkurugenzi Atishia Kuitisha Daftari la Mahudhurio saa tisa Usiku sababu Je?
Normal 0 false false false EN-U...
Gwajima atiwa Nguvuni na Polisi Dar, Imekuaje?
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limemkamata ...
Baada ya Cameroon huyu ndio kuwa Waziri mkuu wa Uingereza.
Katika saa au siku kadhaa zijazo, Waziri wa maswala ya nda...
ULIPITWA; MATOKEO YA ENGLAND VS RUSSIA YAKO HAPA.
June 11 2016 michuano ya Euro 2016 inayofanyika Ufaransa imeen...
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment