Thursday, September 3, 2015
TIMES FM.
Leo nchini ufaransa kunafanyika maandamano toka kwa wakulima na wafugaji kuelekea mji mkuu wa nchi hiyo.
Makamu wa rais wa Shirikisho la Wakulima nchini Ufaransa (FNSEA),
Luc Smessaert amesema Kunatrekta zaidi ya 1500 yataelekezwa kwenda Paris
pamoja na wakulima na wafugaji zaidi ya 4000 kufanya maandamano
kushinikiza unyanyasaji wa sekta ya kilimo kwa wakulima wa nchi ya
Ufaransa.
“Bei ya Mazao imekuwa ni ya chini, pembejeo hakuna , wakulima
hatuthaminiki pengine haya maandamano yataishtua serikali kutusaidia
madai yetu haya ambayo ni kipindi kirefu tumekuwa tukiyapigia kelele”,
alisema Luc Smessaert.
Wakulima kutoka wilaya 12 watashiriki katika maandamano hayo katika
eneo la taifa. Ujumbe wa wakulima hao utapokelewa leo mchana katika mji
wa Matignon, na mwingine utakwenda Bungeni ili kufikisha malalamiko yake
kwa wabunge. Maandamano haya yenye ushawishi mkubwa yametajwa kuwa ya
kihistoria na wafugaji wengi.
Related Posts
Donny Roberty Mshindi Miss Mwanza 2016 Tazama Picha hapa chini.
Usiku wa jana Ijumaa Agost 19,2016 kuamkia leo Jumamosi Agost 20,20...
MAONESHO YA BIASHARA ROCK CITY MALL MWANZA.
Makamu Mwenyekiti wa Chemba ya Wafanyabiashara wenye Viwanda n...
TFF Yatoa Angalizo Kwenye Msimu Mpya Wa VPL 16-17.
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2016/17 inatarajiwa kuan...
Sumatra Imesema hakuna usafiri utakaositishwa.
MAMLAKA ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imewatoa hofu ...
Hesabu inaendelea Ibra aweka mbili Nyumbani (VIDEO).
Endeleeni kuhesabu, ndiyo lugha rahisi unayoweza kuitumia baada...
Mambo 8 Yatakayokusaidia Kufikia Malengo Yako.
Kila wakati wengi wetu katika maisha, ni watu wa kujiwekea malengo....
Mkurugenzi Atishia Kuitisha Daftari la Mahudhurio saa tisa Usiku sababu Je?
Normal 0 false false false EN-U...
Gwajima atiwa Nguvuni na Polisi Dar, Imekuaje?
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limemkamata ...
Baada ya Cameroon huyu ndio kuwa Waziri mkuu wa Uingereza.
Katika saa au siku kadhaa zijazo, Waziri wa maswala ya nda...
ULIPITWA; MATOKEO YA ENGLAND VS RUSSIA YAKO HAPA.
June 11 2016 michuano ya Euro 2016 inayofanyika Ufaransa imeen...
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment