728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, September 22, 2015

    MAREKANI YAZIDI KUMNG’ANG’ANIA WARNER.




    MWANASHERIA Mkuu wa Serikali ya Trinidad na Tobago ametoa kibali juu ya kesi iliyofunguliwa na Marekani dhidi ya aliyekuwa Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Duniani-FIFA Jack Warner.Warner anatuhumiwa kuhusika kupokea mamilioni ya dola za kimarekani kama rushwa alipokuwa madarakani.Warner pamoja na maofisa wengine kumi na watatu wa sasa na wa zamani wa FIFA walifunguliwa mashitaka hayo na mamlaka ya Marekani tokea mwezi Mei mwaka huu.Warner amekanusha mashitaka yanayomkabili na wiki iliyopita serikali ya Switzerland ilithibitisha kuachiliwa kwa kiongozi mwingine wa FIFA Eugenio Figueredo kutoka Uruguay.


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: MAREKANI YAZIDI KUMNG’ANG’ANIA WARNER. Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top