728x90 AdSpace

  • Latest News

    Tuesday, September 15, 2015

    NINAYO MAKUBWA AMBAYO HUWA YANASIKIKA KUPITIA 89.5 CG FM KWENYE TAARIFA YA HABARI.(AUDIO)



    HABARI SEPTEMBA 16, 2015

    IMETIMIA SAA KUMI KAMILI JIONI

    PLAY JINGLE ……….MWANZO

    HII NI TAARIFA YA HABARI KUTOKA CG FM

    MSOMAJI NI FLORENTINA NYAMBUKA

    KWANZA NI MUHTASARI WAKE

    LINK……….MUHTASARI
     Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa –TAKUKURU mkoani TABORA imetakiwa kuwafikia wananchi wa vijijini  kuwapa elimu kuhusu vitendo vya rushwa katika uchaguzi.



    ===

    Wananchi wanaoponda kokoto eneo la FILTA katika kata ya KITETE,Manispaa ya TABORA wameagizwa kusitisha shughuli hiyo ili kunusuru uharibifu wa matanki ya maji yaliyopo eneo hilo.

    ===

    Na katika habari za Kimataifa, MISRI imesema jeshi lake limeua raia 12 kwa bahati mbaya,wakiwemo watalii kutoka MEXICO wakati wa operesheni ya kupambana na ugaidi.



    HABARI KAMILI
    Bofya play kusikiliza hapa chini....
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: NINAYO MAKUBWA AMBAYO HUWA YANASIKIKA KUPITIA 89.5 CG FM KWENYE TAARIFA YA HABARI.(AUDIO) Rating: 5 Reviewed By: Unknown
    Scroll to Top