Thursday, May 5, 2016
Mwimbaji
wa muziki wa Mduara nchini Snura Mushi ameomba radhi kwa umma wa
Watanzania kwa kosa la kutengeneza, kuzindua na kuweka mitandaoni video
ya udhalilishaji wa mwanamke na isiyozingatia maadili ya Kitanzania ya
muziki unaoitwa "Chura"
Akizungumza na vyombo vya habari leo Snura amesema wakati wa utayarishaji wa video hiyo mvua ilinyesha hivyo madansa walilowana.
"Baada
ya kuona wamelowa ilibidi tusitishe kupeleka katika televisheni na
kuiacha you tube, Snura hajafungiwa bali video yangu ilisitishwa na mimi
nilizuiwa kujihusisha na sanaa mpaka nijisajili," amesema Snura.
Meneja
wa mwanamuziki huyo Hemedi Kavu amesema tayari walishakwenda Basata
tangu jana kuomba usajili, leo wamepatiwa cheti cha usajili.
"tumeshajisajili
Basata, pia tayari tumeshaitoa video hiyo kwenye mtandao wa YouTube,
tumeshalitekeleza na akaunti ya wimbo huo imeshafutwa na tunatarajia
kuifanya video hiyo upya," amesema Hemedi Kavu.
Related Posts
Donny Roberty Mshindi Miss Mwanza 2016 Tazama Picha hapa chini.
Usiku wa jana Ijumaa Agost 19,2016 kuamkia leo Jumamosi Agost 20,20...
MAONESHO YA BIASHARA ROCK CITY MALL MWANZA.
Makamu Mwenyekiti wa Chemba ya Wafanyabiashara wenye Viwanda n...
TFF Yatoa Angalizo Kwenye Msimu Mpya Wa VPL 16-17.
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2016/17 inatarajiwa kuan...
Sumatra Imesema hakuna usafiri utakaositishwa.
MAMLAKA ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imewatoa hofu ...
Hesabu inaendelea Ibra aweka mbili Nyumbani (VIDEO).
Endeleeni kuhesabu, ndiyo lugha rahisi unayoweza kuitumia baada...
Mambo 8 Yatakayokusaidia Kufikia Malengo Yako.
Kila wakati wengi wetu katika maisha, ni watu wa kujiwekea malengo....
Mkurugenzi Atishia Kuitisha Daftari la Mahudhurio saa tisa Usiku sababu Je?
Normal 0 false false false EN-U...
Gwajima atiwa Nguvuni na Polisi Dar, Imekuaje?
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limemkamata ...
Baada ya Cameroon huyu ndio kuwa Waziri mkuu wa Uingereza.
Katika saa au siku kadhaa zijazo, Waziri wa maswala ya nda...
ULIPITWA; MATOKEO YA ENGLAND VS RUSSIA YAKO HAPA.
June 11 2016 michuano ya Euro 2016 inayofanyika Ufaransa imeen...
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment